Kutoka kushoto, Balozi wa Kuwait nchini Tanzania Mh. Jasem Al-Najem, Naibu Waziri wa sera, Bunge, Kazi, vijana, ajira na walemavu Mh Stella Ikupa, na Mwenyekiti wa Dr Amon Mkoga Foundation. Ubalozi wa Kuwait umetoa vyerehani, fimbo za kutembelea walemavu na baiskeli za walemavu vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 18 kwa watu wenye mahitaji maalum kutoka mkoa wa Tabora.
Sunday, December 24, 2017

Home
HABARI
HABARI KIJAMII
HABARI ZA NYUMBANI
UBALOZI WA KUWAIT WAKABIDHI VIFAA VYA WALEMAVU MKOANI TABORA
UBALOZI WA KUWAIT WAKABIDHI VIFAA VYA WALEMAVU MKOANI TABORA
Tags
# HABARI
# HABARI KIJAMII
# HABARI ZA NYUMBANI
HABARI ZA NYUMBANI
Labels:
HABARI,
HABARI KIJAMII,
HABARI ZA NYUMBANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment