HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, December 19, 2017

NYUMBA ZAIDI YA 41 ZAHARIBIWA VIBAYA KUFUATI MVUA MKUBWA MKOANI RUVUMA

Nyumba zaidi ya 41 zimeharibiwa vibaya kufuatia mvua kubwa iliyonyesha iliyoambatana na upepo mkali na kuharibu miundombinu ya shule ya sekondari matimila wilayani Songea mkoani Ruvuma,
Kufuatia uharibifu huo RUVUMATV imefika katika eneo la maafa kuzungumza na wananchi wa vijiji vya MGAZINI na MPANGURA huku baadhi ya wananchi hao wakistajabu na maafa hayo.
HABARI KAMILI HII HAPA VIDEO YAKE

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad