Afisa kilimo kutoka kampuni ya Yara Tanzania Ltd ambao ni wazalishaji na wasambazaji wa mbolea nchini, Maulid Mkima (kushoto) akitoa elimu juu ya matumizi bora ya mbolea ya YaraMila WINNER, YaraLiva NITRABOR na YaraVita TRACEL BZ kwa ajili ya zao la viazi kwa wakulima katika kijiji cha Simambwe Wilaya ya Mbeya.
Afisa
 kilimo kutoka kampuni ya Yara Tanzania Ltd ambao ni wazalishaji na 
wasambazaji wa mbolea nchini, Maulid Mkima (kushoto) akiwa na mmoja wa 
wakulima wa viazi katika kijiji cha Simambwe Wilaya ya Mbeya, Furaha 
Ngala alipotembelea shambani kwake na kuona matokea ya zao hilo baada ya
 kutumia mbolea aina ya YaraMila WINNER, YaraLiva NITRABOR na YaraVita 
TRACEL BZ.
Afisa kilimo kutoka kampuni ya Yara Tanzania Ltd ambao ni wazalishaji na wasambazaji wa mbolea nchini, Maulid Mkima (katikati) akiwa shambani kwa mkulima wa viazi katika kijiji cha Simambwe Wilaya ya Mbeya, Furaha Ngala (kulia) kwa ajili ya kukagua maendeleo ya zao hilo baada ya kutumia mbolea ya YaraMila WINNER, YaraLiva NITRABOR na YaraVita TRACEL BZ mpangilio wa lisha linganifu kwenye viazi. Kushoto ni bwana shamba msaidizi wa kampuni hiyo kutoka Mbeya, Medson Joseph




No comments:
Post a Comment