Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Timu ya Ruvu Shooting leo inashuka dimbani katika uwanja wa CCM Kirumba kupambana na Wauza Mbao wa Mwanza, Mbao Fc katika mchezo wa ligi kuu utakaokuwa wa ushindani huku Ruvu wakitaka kulipa kisasi cha goli 4-1 waliyofungwa kwenye mzunguko wa kwanza kwenye Uwanja wa Mabatini Pwani.
Ruvu watawakosa Shaban Kisiga ambaye ni mgonjwa pamoja na Jabir Aziz anayetumikia kadi tatu za njano.
Kikosi cha Ruvu Shooting leo
Jan 27, 2017
CCM Kirumba
Mbao FC vs Ruvu Shooting
Ruvu Shooting Line Up
1. Abdallah Rashid 1
2. Abdul Mpambika 12
3. Yusuph Nguya 2
4. Renatus Kisase 5
5. Damas Makwaya 20
6. Zuberi Dabi 24
7. Ayoub Kitala 7
8. Baraka Mtuwi 15
9. Ismail Mgunda 27
10. Fully Zulu Maganga 28
11. Abdurahman Mussa 17
Sub
GP Bidii Hussein 18
2. Said Madega 19
3. Shaibu Nayopa 26
4. Said Dilunga 3
5. Shabani Msala 4
6. Chande Magoja 21
7. Alex Seth 22
No comments:
Post a Comment