Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akimjulia hali Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Steven Hillary Ngonyani "Prof. Maji Marefu" ambaye amelazwa katika Hospitali ya Kairuki, Jijini Dar es salaam akisumbuliawa na Mguu wake kwa kipindi kirefu.
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akizungumza jambo na Mama mzazi wa Prof. Maji Marefu ambaye ndie anaemuuguza hospitalini hapo.



No comments:
Post a Comment