Mwili wa mwandishi wa habari za michezo wa gazeti la uhuru na mzalendo 
Amina Athuman ukisafirishwa asubuhi hii na boti ya kilimanjaro kuelekea 
Dar es Salaam na kusafirishwa hadi kijijini kwao Lushoto kwa mazishi 
yanayotarajiwa kufanyika siku ya jumanne mchana. Marehemu alikuwa 
Zanzibar kikazi akiripoti habari za michezo kombe la Mapinduzi na 
kumkuta mauti hayo baada ya kujifungua mtoto wa kiume, kwa bahati mbaya 
mtoto akafariki baada ya kuzaliwa na yeye kupata kifafa cha uzazi na 
kufariki jana asubuhi. Mwenyenzi mungu ampe kauli thabiti na amsamehe 
madhambi yake-Ameen
Monday, January 16, 2017
Home
MSIBA
TANZIA
MWILI WA MAREHEMU AMINA ATHUMAN KUWASILI JIJINI DAR ASUBUHI HII NA BAADAE KUSAFIRISHWA KIJIJINI KWAO LUSHOTO KWA MAZISHI
MWILI WA MAREHEMU AMINA ATHUMAN KUWASILI JIJINI DAR ASUBUHI HII NA BAADAE KUSAFIRISHWA KIJIJINI KWAO LUSHOTO KWA MAZISHI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment