HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 5, 2017

BENCHI LAMCHOSHA MANYIKA, KUANZA LEO KWENYE MECHI YAO NA URA


Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii

Baada ya kukalia benchi kwa kipindi kirefu bila kudaka hatimaye benchi la ufundi la timu ya Simba limeamua kumuamini na kumpatia nafasi golikipa kijana Peter Manyika aliyewika msimu wa 2014/2015 na timu hyo.

Hii inakuwa ni mechi yake ya kwanza toka kusajiliwa kwa golikipa Vicent Angban aliedaka nusu msimu 205/2016 aliyebwagiwa manyanga  na nafasi yake kuchukuliwa na mghana Daniel Aggey


1. Manyika Peter
2. Javier Bokungu
3. Mohammed Zimbwe
4. Abdi Hassan Banda
5. Method Mwanjale
6. Jonas G Mkude
7. Shiza R Kichuya
8. Muzamir Yasini
9. Laudit Mavugo
10. Juma Luzio
11. Pastory Athanas

Sub

1. Denis Richard
2. Vicent Costa
3. Novart Lufunga
4. Said H Ndemla
5. Hijja Ugando
6. Jamal Mnyate
7. Mosses Kitandu.



No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad