DROO ya kupanga ratiba ya michuano ya kimataifa ya Shirikisho la Afrika (CAF) imefanyika leo mchana kwa timu za Tanzania Yanga na Azam kupamgiwa timu zao.
Klabu ya Yanga imepangiwa kuanza na Ngaye De Mbe ya Nchini Comoro huku Azam akisubiri mshindi katika ya Mbabane Swallons na Opara United.
Mashindano hayo yanatarajiwa kuanza Februari 11, 12 na 13 na Yanga wataanzia ugenini kwenye mechi ya kwanza kama watafanikiwa kushinda dhidi ya Ngaya De Mbe watakutana na mshindi kati ya Zanaco (Zambia)vs APR (Rwanda) na baada ya hapo wataingia hatua ya makundi Total caf club championship 2017.


No comments:
Post a Comment