HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, December 30, 2016

SAKATA LA NYOKA WA AJABU ALIYEKUFA NA MTU WAKE HUKO MKOANI RUVUMA

Dereva boda boda Kasian Haule ambaye alimpakia Denis Komba na nyoka wake.
...................................

Tukio lililo zua taharuki kwa wakazi wa songea mkoani Ruvuma na kupewa nafasi kubwa katika vyombo vya habari vya Tanzania na nje ya Tanzania pamoja na mitandao ya kijamii, huku likiacha gumzo midomoni mwa watu, kuhusiana na kifo cha DENIS KOMBA kufariki dunia baada ya nyoka wake aliyekuwa anasadikiwa kummiliki, kuuawa na wananchi DESEMBA 26 MWAKA HUU, majira ya saa 4 na nusu usiku , katika maeneo ya hospital ya rufaa ya mkoa wa Ruvuma. Ruvuma TV imezungumza na KASIANI HAULE, ambaye ndiye dereva boda boda aliyekuwa kakodiwa na marehe DENISI KOMBA Bonyeza hiyo Video upate ukweli wa tukio.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad