HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, December 22, 2016

NOGESHA UPENDO YA VODACOM YAENDELEZA UPENDO KWA WASHINDI 100 WALIOJINYAKULIA MIL 1 NA 182 LAKI 1 KILA MMOJA

 Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(kushoto)akiongea jambo na mmoja wa washindi kati ya  100 waliojishindia kitita cha shilingi Milioni 1/-na 182 waliojishindia shilingi laki 1 kila mmoja  kupitia droo ya Promosheni ya”Nogesha Upendo” leo jijini Dar es Salaam inayowawesha wateja wa kampuni hiyo kujishindia muda wa maongezi,Vifurushi vya intaneti pamoja na  fedha taslimu pindi wakijiunga na kifurushi chochote cha mtandao huo ,Anayeshuhudia ni Mosi Nasoro.
Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania, Mosi Nasoro(kulia)akimshuhudia Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo,Matina Nkurlu akiwaonyesha namba ya simu ya mmoja wa washindi kati ya  100 waliojishindia kitita cha shilingi Milioni 1/-na 182 waliojishindia shilingi laki 1 kila mmoja  kupitia droo ya Promosheni ya”Nogesha Upendo”inayoendeshwa na kampuni hiyo leo jijini Dar es Salaam inayowawesha wateja wake kujishindia muda wa maongezi,Vifurushi vya intaneti pamoja na  fedha taslimu pindi wakijiunga na kifurushi chochote cha mtandao huo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad