Wasanii wa muziki wa Singeli wakionyesha vipaji vyao vya kusakata muziki huo kwenye tamasha lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania la Mziki Mnene katika viwanja vya CCM Mwijuma Mwananyamala jijini Dar es Salaam leo.
Mashabiki wa muziki wa Singeli wakishuhudia Msaanii Mallo akifanya vitu vyake kwenye tamasha lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania la Mziki Mnene katika viwanja vya CCM Mwijuma Mwananyamala jijini Dar es Salaam leo.
Beki wa timu ya soka ya veterani Mango Garden, Hamis Ramadhani (kulia )akimdhibiti Mshambuliaji, Nicolaus Benedict, kwenye pambano la kirafiki la Mziki mnene lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania kwenye viwanja vya Mango Garden, Kinondoni jijini Dar es Salaam leo.
No comments:
Post a Comment