Kutoka kushoto ni Ted, mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Watanzania North Carolina Bi. Gloria Alex, Mke wa Balozi Marystela Masilingi, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. Wilson Masilingi, Dr. Lucas Shallua, mke wa Dr. Shallua, Dr. Dorothy Edward Shallua na Afisa Uhamijai wa Ubalozi, Bwn. Abbas Missana.


Balozi
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. 
Wilson Masilingi akitia saidi kitabu cha wageni katika chuo 
kinachomilikiwa na Mtanzania Dr. Lucas Shallua kilichopo Winston Salem, 
North Carolina siku ya Ijumaa Septemba 2, 2016.
Balozi
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. 
Wilson Masilingi akifanya mazungumuzo na mmiliki wa chuo cha Mount Eagle
 College &University Dr. Lucas Shallua siku ya Ijumaa Septemba 3, 
2016 Balozi Wilson Masilingi alipotembelea chuo hicho kilichopo Winston 
Salem, North Carolina.
 Mazungumuzo
 yakiendelea, wengine katika kufuatilia mazungumuzo hayo kutoka kushoto 
ni ni Afisa Uhamiaji wa Ubalozi Bwn. Abbas Missana, Dr. Dorothy Edward 
Shallua (mke wa Dr. Lucas Shallua), Mke wa Balozi Marystela Masilingi, 
na mwenyeiki wa Umoja wa Watanzania North Carolina, Bi. Gloria Alex.
 Balozi
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. 
Wilson Masilingi akimsikiliza Dr. Lucas Shallua alipokua akimwonyesha 
moja ya darasa linalotumia kurekodia masomo ya matandaoni.
 Balozi
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. 
Wilson Masilingi akimsikiliza Dr. Lucas Shallua (kulia) alipokua 
amkitembeza na kumwonyesha chuo cha Mount Eagle College & University
 kilichopo mji wa Winston Salem, North Carolina. Wengine katika picha 
kutoka kushoto ni mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Watanzania North 
Carolina, Bi. Gloria Alex, Mke wa Balozi Bi. Marystela Masilingi, nyuma 
ya Balozi asiyeonekana ni Afisa Uhamiaji wa Ubalozi Bwn. Abbas Missana 
na Mke wa Shallua, Dr. Dorothy Edward Shallua.
 Moja ya madarasa chuoni hapo.
 kutoka
 kushoto ni Afisa Uhamiaji wa Ubalozi Bwn. Abbas Missana, Mwenyekiti wa 
Jumuiya ya Umoja wa Watanzania North Carolina, Bi. Gloria Alex, nyuma ya
 Mhe. Balozi ni mkewe Marystela Masilingi, Balozi wa Jamhuri ya Muungano
 wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. Wilson Masilingi, mke wa 
Shallua, Dr. Dorothy Edward Shallua na Dr. Lucas Shallua ambaye akitoa 
maelezo kwa Mhe. Balozi wakati akimtembeza na kumwonyesha chuo hicho.
 Mke
 wa Dr. Shallua, Dr. Dorothy Edward Shallua (kulia) akimuelezea Balozi 
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. 
Wilson Masilingi kuhusiana na kampuni yake ya Mount Eagle Health Care 
ambayo ofisi zake pia zipo kwenye jengo la ofisi za chuo hicho.
 Balozi
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. 
Wilson Masilingi akisikiliza maelezo kutoka mmoja ya walimu wa darasa la
 utgawaji utumiaji wa dawa kwa mgonjwa chuoni hapo Mwl. Allen Greene 
(kushoto) kati ni Dr. Lucas Shallua akifuatilia kwa makini muzungumuzo 
hayo.
 Wapili
 toka kushoto ni Mkuu wa chuo Bi. Denese Methews akitoa maelezo kwa 
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, 
Mhe. Wilson Masilingi (watano toka kushoto) kuhusiana na chuo hicho 
wengine wanao msikiliza kutoka kushoto ni mke wa Dr. Shallua, Dr. 
Dorothy Edward Shallua, mwenyeki wa Jumuiya ya Umoja wa Watanzania North
 Carolina, mke wa Balozi, Marystela Masilingi na Dr. Lucas Shallua.
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. Wilson Masilingi na mkewe wakipokea zawadi kutoka mke wa Dr. Shallua, Dr. Dorothy Edward Shallua na Dr. Lucas Shallua.
Chuo cha Mount Eagle kinatoa unafuu kwa Mtanzania anayetaka kujiunga katika masomo ya Unesi na ugawaji dawa na chuo hicho kwa kukuwezesha wewe kufanyakazi hospitanini au kwenye maduka ya dawa pia wanamsomo ya mtandaoni kwa bei nafuu. Kwa maelezo zaidi usisite kuwasiliana na Dr. Lucas Shallua barua pepe Lshallua@mounteag.com 

No comments:
Post a Comment