HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, August 2, 2016

SSRA YASHIRIKI MAONYESHO YA SIKUKUU YA WAKULIMA KATIKA VIWANJA VYA NGONGO MKOANI LINDI


Wananchi mbalimbali wakipata maelezo ya Sekta ya Hifadhi ya Jamii kutoka kwa Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Hifadhi ya Jamii (SSRA) katika maonesho ya Nane nane mjini Lindi jana.


Mkulima akipokea vipeperushi na maelezo toka kwa Afisa wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Bw. David Mathayo katika maonesho ya wakulima Nane nane mkoani Lindi jana.

Mkuu wa Kitengocha uhusino na Uhamasishaji wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Bi. Sarah Kibonde Msika (katikati) akigawa baadhi ya vifaa vya uhamasishaji kwa wadau waliotembelea banda la SSRA katika maonesho ya sherehe za Wakulima katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi jana. Maadhimisho ya sikukuu hiyo, yatafanyika Agost 8, 2016.
Bi. Sarah Kibonde Msika (kulia) na Bw. Mathayo Mihayo (Kushoto) wakitoa maelezo mbalimbali ya Hifadhi ya Jamii kwa wananchi waliotembelea banda la SSRA katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi katika maonesho ya Nane nane.
Wananchi mbalimbali wakipata maelezo ya Sekta ya Hifadhi ya Jamii kutoka kwa Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Hifadhi ya Jamii (SSRA) katika maonesho ya Nane nane.

Afisa Uhusiano na Uhamasishaji Bi. Agnes Lubuva akitoa malezo na vipeperushi kwa wageni waliotembelea banda la SSRA katika Viwanja vya Ngongo mkoani Lindi wakati wa maonesho ya Wakulima jana.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad