Kikundi cha The Guest Crew la jijini Dar es Salaam, wakionyesha umahiri wao kusakata dance wakati wa shindano la robo fainali la Dance 100% 2016 lililofanyika katika viwanja vya Don bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhanimiwa na Vodacom Tanzania.Jumla ya makaundi 10 kati ya 13 yalifanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali itakayofanyika katika viwanja hivyo mwishoni mwa wiki.
TIMU MAKOROKORO: Kundi la timu Makorokoro Boys la jijini Dar es salaam, wakionyesha umahiri wao wa kusakata dance wakati wa shindano la robo fainali la Dance 100% 2016 lililofanyika katika viwanja vya Don bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhanimiwa na Vodacom Tanzania.Jumla ya makaundi 10 kati ya 13 yalifanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali itakayofanyika katika viwanja hivyo mwishoni mwa wiki.
TIMU MAKOROKORO: Kundi la timu Makorokoro Boys la jijini Dar es salaam, wakionyesha umahiri wao wa kusakata dance wakati wa shindano la robo fainali la Dance 100% 2016 lililofanyika katika viwanja vya Don bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhanimiwa na Vodacom Tanzania.Jumla ya makaundi 10 kati ya 13 yalifanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali itakayofanyika katika viwanja hivyo mwishoni mwa wiki.
Kundi la J COmbaty la Zanzibar wakikonga nyoyo za mashabiki wakati wa robo fainali ya shindano la Dance100%2016 katika viwanja vya Don bosco jijini Dar es Salaam . Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhanimiwa na Vodacom Tanzania.Jumla ya makaundi 10 kati ya 13 yalifanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali itakayofanyika katika viwanja hivyo mwishoni mwa wiki.
Kundi la J COmbaty la Zanzibar wakikonga nyoyo za mashabiki wakati wa robo fainali ya shindano la Dance100%2016 katika viwanja vya Don bosco jijini Dar es Salaam . Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhanimiwa na Vodacom Tanzania.Jumla ya makaundi 10 kati ya 13 yalifanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali itakayofanyika katika viwanja hivyo mwishoni mwa wiki.
Kundi
la DDI Crew la jijini Dar es wakionyesha umahiri wao wakati wa shindano
la robo fainali la Dance 100% 2016 lililofanyika katika viwanja vya
Don bosco Oysterbay jijini,Shindano hilo limeandaliwa na EATV na
kudhanimiwa na Vodacom Tanzania.Jumla ya makaundi 10 kati ya 13
yalifanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali itakayofanyika katika
viwanja hivyo mwishoni mwa wiki.
Vijana
wanaounda kundi la Mazabe Crew la jijini Dar es wakifanya mambo yao
wakati wa shindano la robo fainali la Dance 100% 2016 lililofanyika
katika viwanja vya Don bosco Oysterbay jijini, Shindano hilo
limeandaliwa na EATV na kudhanimiwa na Vodacom Tanzania.Jumla ya
makaundi 10 kati ya 13 yalifanikiwa kuingia katika hatua ya nusu
fainali itakayofanyika katika viwanja hivyo mwishoni mwa wiki.
Kikundi
cha The Guest Crew la jijini Dar es Salaam, wakionyesha umahiri wao
kusakata dance wakati wa shindano la robo fainali la Dance 100% 2016
lililofanyika katika viwanja vya Don bosco Oysterbay jijini Dar es
Salaam. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhanimiwa na Vodacom
Tanzania.Jumla ya makaundi 10 kati ya 13 yalifanikiwa kuingia katika
hatua ya nusu fainali itakayofanyika katika viwanja hivyo mwishoni mwa
wiki.
Kundi la Wazawa Crew la jijini Dar es Salaam,wakifanya manjonjo yao ya kudansi wakati robo fainali ya shindano la Dance100%2016 katika viwanja vya Don bosco jijini Dar es Salaam. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhanimiwa na Vodacom Tanzania.Jumla ya makaundi 10 kati ya 13 yalifanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali itakayofanyika katika viwanja hivyo mwishoni mwa wiki.
Kundi la Wazawa Crew la jijini Dar es Salaam,wakifanya manjonjo yao ya kudansi wakati robo fainali ya shindano la Dance100%2016 katika viwanja vya Don bosco jijini Dar es Salaam. Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhanimiwa na Vodacom Tanzania.Jumla ya makaundi 10 kati ya 13 yalifanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali itakayofanyika katika viwanja hivyo mwishoni mwa wiki.
Kundi la Clever Boys la jijini Dar es Salaam, wakikonga nyoyo za mashabiki wakati robofainali ya shindano la Dance100%2016 katika viwanja vya Don bosco jijini Dar es Salaam . Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhanimiwa na Vodacom Tanzania.Jumla ya makaundi 10 kati ya 13 yalifanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali itakayofanyika katika viwanja hivyo mwishoni mwa wiki.
TCW: Vijana wanaunda kundi la TCW Crews la jijini Dar es Salaam, wakikonga nyoyo za mashabiki wakati robofainali ya shindano la Dance100%2016 katika viwanja vya Don bosco jijini Dar es Salaam, Shindano hilo limeandaliwa na EATV na kudhanimiwa na Vodacom Tanzania,Jumla ya makaundi 10 kati ya 13 yalifanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali itakayofanyika katika viwanja hivyo mwishoni mwa wiki.
Mashabiki wa kudansi wakifuatilia mchuano mkali wa shindano la robo fainali ya Dance 100% 2016 katika viwanja vya Don bosco jijini Dar es Salaam,Uliokutanisha makundi 13 na kumenyana na makundi 10 kuingia hatua ya nusu fainali itakayofanyika katika viwanja vya Don bosco Oysterbay wiki ijayo chini ya Vodacom Tanzania na EATV.
Baadhi ya mashabiki wa kudansi wakifuatilia mchuano mkali wa shindano la robo fainali ya Dance 100% 2016 katika viwanja vya Don bosco jijini Dar es Salaam,Uliokutanisha makundi 13 na kumenyana na makundi 10 kuingia hatua ya nusu fainali itakayofanyika katika viwanja vya Don bosco Oysterbay wiki ijayo chini ya Vodacom Tanzania na EATV.
No comments:
Post a Comment