HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, July 10, 2016

WADAU EVANS MASHIMI NA THERESIA 'TEDDY' SAKAYA WAMEREMETA LEO AZURA BEACH JIJINI DAR ES SALAAM

Wadau Evans na Teddy wa Atlanta MarCb ul  ekani usiku huu wako Azura Beach jijini Dar es salaam wakiwa katika mnuso wa nguvu baada ya kumeremeta hapo hapo ufukweni Azura katika sherehe iliyofurika ndugu, jamaa na marafiki kutoka kila pembe ya dunia. Picha zifuatazo zinaongea.
Picha na Frenja Digital Production.













No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad