| Mahali anapolala kijana Emanuel Fedrick (20)Mkazi wa Mwambeja Kata ya Ilemi jijini kwa zaidi ya Miaka 11 sasa kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kuficha aibu ya familia. |
| Kijana Emanuel Fedrick (20) mwenye tatizo la utindio wa ubongo akiwa amebebwa na shangazi yake Stella Mbuligwe baada ya kutoka nje na kufanyiwa usafi wa mwili. |

No comments:
Post a Comment