Pichani ni Muonekano wa Barabara ya kutoka Mbeya kuelekea Tunduma mpaka Mkoani Rukwa, na hiki ni Kipande Kidogo cha Njia panda ya Mlowo Mbozi Mkoani Songwe kama ambavyo kinaonekana katika Taswira ni chenye Kumeremeta.
Hiki pia ni kipande Kidogo cha Barabara hiyo ya Mbeya Tunduma na hapa pia ni Njia panda ya kuelekea Vwawa ni mara baada ya kutoka Mlowo Mbozi Mkoani Songwe.
Baadhi ya Wafanya Bishara Wa Kuza Matunda Wakiwa katika Kilinge chao Cha kufanyia Biashara Zao eneo la Mpemba Wilayani Momba..
Wataalamu wa kuendesha Gari Ng'ombe wakiwa Sambamba na Gari lao Kando kando ya Barabara hiyo..
PICHA NA MR.PENGO MMG NYANDA ZA JUU KUSINI.
No comments:
Post a Comment