HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, June 6, 2016

MBWANA SAMATTA PAMOJA NA WASANII WA SHIWATA WAKABIDHIWA MAENEO YAO KATIKA KIJIJI CHA WASANII WILAYANI MKURANGA


 

Kaimu Mkurugenzi Idara ya Sanaa wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bi. Leah Kihimbi (wa pili kulia) akiwa ameongozana na Mwenyekiti wa Shirikisho la Wasaanii Tanzania (SHIWATA) Bw. Casim Taalib (kulia) pamoja na Afisa Utamaduni Wilayani Mkuranga kukagua nyumba za Wasanii 5 Juni, 2016 Wilayani Mkuranga. 
 Kaimu Mkurugenzi Idara ya Sanaa wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bi. Leah Kihimbi (katikati) akimkabidhi cheti cha umiliki wa eneo la ukubwa wa ekari tano baba yake Mbwana Samatta kwa niaba ya mwanae Mbwana Samatta wakati wa hafla ya uwagawaji maeneo kwa ajili ya wasanii na Mwanasoka huyo bora wa ndani ya Afrika Juni, 2016 Wilayani Mkuranga. 

 Baadhi ya nyumba katika kijiji cha Wasaanii kama zinavyoonekana katika picha Wilayani Mkuranga. 
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Sanaa wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bi. Leah Kihimbi (kushoto) akizungumza na Afisa Utamaduni Mstaafu wa Wizara hiyo Bw. Michael Kagondela pamoja na Mwenyekiti wa Shirikisho la Wasanii Tanzania (SHIWATA) Bw. Casim Taalib (katikati) mara alipowasili katika kijiji cha Mwanzega Wilayani Mkuranga kwa aajili ya hafla ya kuwagawia maeneo Wasaanii pamoja na Mwanasoka bora ndani ya Afrika Bw. Mbwana Samatta 5 Juni, 2016.
Baadhi ya Wasanii pamoja na Wanakijiji wakiwa wamesimama kumpokea mgeni rasmi ambaye ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Sanaa wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bi. Leah Kihimbini ambaye alimwakilisha Waziri Nape Nnauye katika hafla ya uwagawaji maeneo kwa ajili ya wasanii na Mwanasoka bora wa ndani ya Afrika, Bw. Mbwana Samatta 5 Juni, 2016 Wilayani Mkuranga. 
Kikundi cha matarumbeta toka Wilayani Mkuranga kikitumbuiza wakati wa hafla ya uwagawaji maeneo kwa ajili ya wasanii na Mwanasoka bora wa ndani ya Afrika, Bw. Mbwana Samatta 5 Juni, 2016 Wilayani Mkuranga. 
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Sanaa wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bi. Leah Kihimbi (katikati) akiteta jambo na Mwenyekiti wa Shirikisho la Wasanii Tanzania (SHIWATA) Bw. Casim Taalib (kushoto) wakati wa hafla ya uwagawaji maeneo kwa ajili ya wasanii na Mwanasoka bora wa ndani ya Afrika, Bw. Mbwana Samatta 5 Juni, 2016 Wilayani Mkuranga. Kulia ni Afisa Utamaduni Wilayani Mkuranga, Bw. Pembe Mlekwa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad