HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, June 3, 2016

GEPF WATOA MSAADA WA BAISKELI MAALUM KWA WALEMAVU (WHEELCHAIRS) KWA KIKUNDI CHA TANZANITE DISABLED ARTS GROUP KILICHOPO JIJINI DAR

Balozi wa Mfuko wa GEPF,Rose Ndauka akielezea majukumu yake kama balozi na msanii wa filamu katika kuyaunganisha makundi mbalimbali ya kijamii kujiunga na Mfuko wa GEPF. Meneja Masoko na huduma kwa wateja wa Mfuko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina.
Balozi wa Mfuko wa GEPF, Rose Ndauka akikabidhi rasmi zawadi hizo kwa mwenyekiti wa kikundi huku akishuhudiwa na Mkuu wa Kitengo cha Masoko Bw Aloyce Ntukamazina. Kulia ni Meneja Masoko na huduma kwa wateja wa Mfuko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina 
Katibu wa kikundi cha Tanzanite Disabled, Saidi Machako akitoa neno la shukurani kwa ujumbe kutoka GEPF kwa msaada wa baiskeli za kutembelea walizozipata, ambazo zitawasaidia katika shughuli zao za kila siku.
Pichani wasanii wa kikundi cha ngoma cha Tanzanite Group wakitoa burudani kwa wageni wao kabla ya kupokea msaada huo.
Mmoja wa wanufaika wa msaada huo akifurahia zawadi hizo na Rose Ndauka.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad