HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 23, 2016

WAMACHINGA WAENDELEA KUPETA KATIKATI YA JIJI LA DAR

Wakati Serikali ya Halmashauri ya Wilaya ya Ilala ikiwa imepiga maarufu uuzaji wa bidhaa mbalimbali katika maeneo yasiyoruhusiwa katikati ya Jiji, bado wafanyabiashara ndogo ndogo hao wamekuwa wakiendelea na biashara zao katika maeneo yasiyoruhusiwa kama kamera ua Globu ya Jamii ilivyozinasa taswira hizi, Hapa ni katika viyunga vya posta jijini Dar es Salaam leo. Picha na Emmanuel Massaka.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad