HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 20, 2016

MFUKO WA PENSHENI WA GEPF WAFANYA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa GEPF, Daud Msangi ambaye ndie mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi akisisitiza Jambo wakati wa Mkutano Huo, Uliofanyika makao makuu ya Mfuko huo, Jijini Dar es salaam.
Baadhi ya wajumbe wa tawi la Tughe katika mfuko wa Pensheni wa GEPF wakifuatilia agenda za mkutano zilizojadiliwa.
Timu ya wanachama wa tughe katika tawi la Mfuko wa GEPF pamoja na menejimenti katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kikao cha tano cha baraza la wafanyakazi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad