HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, May 12, 2016

MADIMBWI YA MAJI KIKWAZO KWA WAPITANJIA.

 Kamera ya Mtaa kwa mtaa yakutana na kijipu upele katika barabara ya Dunga Kinondoni jijini Dar es Salaam ikiwa na dimbwi la maji ambalo linaonekana kuwa sugu kwani sehemu hiyo imekusanya maji wakati wa kipindi cha mvua zilizokuwa zikinyesha.
(Picha  zote na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii).
  





No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad