WAFANYAKAZI wa Idara ya Miji na Vijiji Zanzibar, wakiwa kazini kubomoa milango ya Maduka inayojengwa bila ya Kibali cha Kamati ya usimamizi na Udhibiti wa Majenzi (DCU). PICHA NA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR.

MANDHARI ya Soko la mboga mboga Mombasa Wilaya ya Magharibi Unguja ambalo baadhi ya ujenzi unaendelea kinyume na sheria.

No comments:
Post a Comment