HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 20, 2016

JAMII YATAKIWA KUDUMISHA NA KUENZI UTAMADUNI.


Kaimu Mkurugenzi  Idara ya Utamaduni Bi. Lily Beleko  kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo akisikiliza swali kutoka kwa mwandishi wa habari  (hayupo pichani) wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari  kuhusu maadhimisho ya siku ya Uanuwai wa Utamaduni yanayotarajia kufanyika  Mei 21 mwaka huu.
  Kaimu Mkurugenzi  Idara ya Utamaduni Bi. Lily Beleko  kutoka Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo akisisitiza jambo wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maadhimisho ya siku ya Uanuwai wa Utamaduni yanayotarajia kufanyika  Mei 21 mwaka huu ,kulia ni Afisa Habari  wa Wizara hiyo Bw.Benjamini Sawe.

Picha na Eliphace Marwa - MEELEZO.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad