HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, May 3, 2016

HALI YA BARABARA YA IFAKARA KWENDA MALINYI NA ULANGA NI TETE SANA



 "Safari ya kutoka Ifakara kwenda wilaya za Malinyi na Ulanga ni ngumu kuliko unavyoweza kuelezea, kukwama barabarani na kulala njiani sasa ni vitu vya kawaida kama inavyoonekana hapa" Picha kwa hisani ya Vedasto Msungu Technologies.

 Baadhi ya Abiria wakijishughulisha namna ya kujinasua kwenye eneo hilo kutokana na hali halisi ionekanavyo pichani

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad