HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, April 13, 2016

MSIPOTUONA HUKO MJINI, MJUE KUNA YANAYOTUSIBU HUKU USWAHILINI KWETU

 Kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mengi hapa Jijini Dar, imepelekea huku Uswahilini kwetu kujaa maji kila kona, hali inayopekelea wakati mwingine tushindwe kutoka kwenda kwenye majukumu ya kila siku.
 Kwa jirani leo kidogo kuna afadhali, maana maji yamekauka na akaamua kuanika na nguo nje walau zipigwe na jua.
 Kwa Bwana Nanihii yeye ndio kaamua kuweka daraja mpaka ndani, kwani maji yakichachamaa hapo yanazama mpaka ndani.
 Gadeni Ndogo ya Miwa.
 Mchikichi nje ya Nyuma ya kina nanihii.
 Gadeni.
 Hivi ndivyo hali ilivyo.
 Mama nanihii akitoka kuteka Maji bombani.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad