HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, April 19, 2016

KUTOKA MAKURINZA SALASALA

 Wakazi wa eneo la Salasala, Jijini Dar wakiwa wakionekana wakitafakari namna ya kuvuka Mto Makurinza unaopita katika Mtaa wa Kuzidi, kutoka na kujaa kwake maji kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mengi hapa mjini.Picha na Emmanuel Massaka
 Wengine waliamua kuvuka kwa mtindo huu, kutona na kutokuwepo kwa namna nyingine ya kuvuka Mto huo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad