HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, March 3, 2016

RAIS DKT.MAGUFULI NA RAIS UHURU KENYATTA WAWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA BARABARA YA ARUSHA-HOLILI/TAVETA-VOI YA KM 234.3

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Mgufuli leo aweka jiwe la msingi la Ujenzi wa barabara ya Arusha- Hilili/Taveta-voi (km 234.3) kwa upande wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta katika eneo la Tengeru jijini Arusha. 
Muonekano wa Barabara ambayo jiwe la msingi linawekwa na  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Mgufuli pamoja na Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Kenyatta.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad