HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, March 3, 2016

RAIS DKT MAGUFULI AONGOZA MKUTANO WA17 WA KAWAIDA WA WAKUU WA NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI JIJINI ARUSHA

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akihutubia Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiyahiyo  jijini Arusha  Machi 2, 2016.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiweka saini ya Kanuni za Madili ya Mfuko wa Sekta Binafsi wakati wa Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya hiyo  jijini Arusha  Machi 2, 2016.
Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda akijiandaa kuweka saini ya Kanuni za Madili ya Mfuko wa Sekta Binafsi wakati wa Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Mashariki jijini Arusha  Machi 2, 2016

Rais Paul Kagame  wa Rwanda akiweka saini ya Kanuni za Madili ya Mfuko wa Sekta Binafsi wakati wa Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Mashariki jijini Arusha  Machi 2, 2016.
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya akiweka saini ya Kanuni za Madili ya Mfuko wa Sekta Binafsi wakati wa Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Mashariki jijini Arusha  Machi 2, 2016
Kijana Simon Sahaya Mollel (18) mwanafunzi wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari ya Mzumbe ya mjini Morogoro akionesha dola 1500 alizokabidhiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli  kama zawadi baada ya kuibuka mshindi wa kwanza wa kuandika Inshawakati wa Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Mashariki jijini Arusha  Machi 2, 2016.
Wanafunzi walioshinda mashindano ya Insha ya EAC wakipata selfie na viongozi baada ya Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Mashariki jijini Arusha  Machi 2, 2016.PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad