Mwakilishi wa Mkuu wa Taasisi ya GSM, Shannon Kiwamba (kushoto) akimkabidhi hundi ya shilingi milioni 20 Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kitengo Cha Mifupa Muhimbili MOI, Dk. Othuman Kiloloma (kulia) kwa ajili ya kununua vifaa vya matibabu, Dar es Salaam jana wa (Pili kushoto) ni Ofisa habari wa Taasisi hiyo, Khalfan Kiwamba, na mratibu wa hafla hiyo, Kibwana Matokeo.
Wednesday, March 30, 2016
Home
Unlabelled
GSM YASAIDI WATOTO WENYE UGONJWA WA MOYO KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MHIMBILI.
GSM YASAIDI WATOTO WENYE UGONJWA WA MOYO KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MHIMBILI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment