HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, January 12, 2016

UTT AMIS YATOA SEMINA KWA WAFANYAKAZI WA MAZNAT JUU YA UWEKEZAJI WA PAMOJA

Mkurugenzi wa Maznat Bridal akifungua semina kwa wafanyakazi wake juu ya huduma bora kwa wateja, ujasiriamali na Uwekezaji wa Pamoja iliyofanyika katika hoteli ya Kebbs jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa masoko na uhusioano UTT AMIS akihamasisha Uwekezaji wa Pamoja katika semina ya wafanyakazi wa Maznat Bridal and Beauty Services katika hoteli ya Kebbs jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Masoko na Uhusioano UTT AMIS akihamasisha Uwekezaji wa Pamoja katika semina ya wafanyakazi wa Maznat Bridal and Beauty Services katika hoteli ya Kebbs jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad