Kamera ya Mtaa kwa Mtaa ilipo kuwa ikiangazia Mitaa mbalimbali iliokumbana na Taswira hii ya Dimbwi kubwa la Maji lililo chomoza eneo la Block "T" Jijini Mbeya likiwa limewekwa Mawe kwa Ishara ya kuzibvwa kwa Njia hiyo kutokana na Shimo kubwa katika ya Dimbwi hilo ambalo inasadikika ni la Muda Mrefu na bado mpaka sasa halijafanyiwa Ufumbuzi..
#Kamerayamtaakwamtaablog
No comments:
Post a Comment