HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, December 11, 2015

Tume ya Mipango watembelea uwanja wa ndege wa Songwe, Mbeya

Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Tume ya Mipango ikitembelea uwanja wa ndege wa Songwe kujionea maendeleo ya ujenzi wa uwanja huo.
Mmoja wa waongoza ndege katika Uwanja wa Ndege wa Songwe, Bw. Emmanuel Mgaza akitoa maelezo ya jinsi ndege inavyoongozwa mpaka kutua kwa timu ya ukaguzi iliyotembelea uwanjani hapo
Mtaalumu wa kuongoza ndege katika uwanja wa Songwe Bw. Baraka Mwakipesile akitoa maelezo kwa baadhi ya wajumbe wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo waliotembelea uwanjani hapo.
Jengo la Uwanja wa Ndege wa Songwe.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad