HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, December 27, 2015

TANZIA

Ndugu Crammer Chiduo wa tabata dsm anasikitika kutangaza kifo cha kaka yake Dr Elizer Chiduo kilichotokea siku ya jumamosi tar 27/12/15 katika hosp ya muhimbili. 

Misa ya kumuombea marehemu pamoja na heshima za mwisho itafanyika nyumbani kwake chuo kikuu mjini dsm siku ya jumatatu tar 28/12/15 kabla ya kuanza safari ya kuelekea kilosa katika kijiji cha Magubike kwaaajili ya mazishi siku ya jumanne tar 29/12/15. 

 Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.

 Amen

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad