Ndugu Crammer Chiduo wa tabata dsm anasikitika kutangaza kifo cha kaka yake Dr Elizer Chiduo kilichotokea siku ya jumamosi tar 27/12/15 katika hosp ya muhimbili.
Misa ya kumuombea marehemu pamoja na heshima za mwisho itafanyika nyumbani kwake chuo kikuu mjini dsm siku ya jumatatu tar 28/12/15 kabla ya kuanza safari ya kuelekea kilosa katika kijiji cha Magubike kwaaajili ya mazishi siku ya jumanne tar 29/12/15.
Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Amen
No comments:
Post a Comment