HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, December 19, 2015

TANZIA

Familia ya Bw. Mgalula Fundikira inasikitika kuwataarifu ndugu, jamaa na marafiki kuwa mwanawe Mlawila (Lawi) Fundikira (18) (pichani) amefariki dunia alfajiri ya leo katika hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kulazwa kutokana na ajali ya gari aliyopata alfajiri ya jumapili ya tarehe 12/11/2015.

Msiba upo Kinondoni block 42 (Bwawani) mtaa ilipo Facebook take away. Mazishi yatafanyika kesho saa 10 jioni katikai makaburi ya Kisutu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad