HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, December 31, 2015

TANGAZO LA KUPOTELEWA KWA "DOCUMENT" ZA MERY MICHAEL LASWAI

MERY MICHAEL LASWAI anatangaza kuibiwa kwa Wallet ikiwa na  Nyaraka (Document) nyingi pamoja na Vitambulisho, Leseni ya Uderava, Kadi za Benki na Kadi ya Mpiga kura vyote vikiwa na jina la  MERY MICHAEL LASWAI.

Vitu hivyo aliibiwa akiwa maeneo ya Boko jijini Dar es Salaam
 atakayeviona mahari popote pale tunaomba apige simu namba 0754441165 na 0688045999.
 SHUKRANI.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad