HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, December 25, 2015

SHEREHE ZA MAULID KITAIFA: WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWATAKA WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU KUFUATA MAADILI MEMA


Waziri Mkuu, Kassim Majliwa na Rais Mstaafu, Ali Hassn Mwinyi wakisikiliza Kasida katika Baraza la Iddi lililohutubiwa na Waziri Mkuu kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam Desemba 24, 2015. Wapili kulshoto ni Sheikh Mkuu wa Tanzania Kufti Abubakari Zubri na kushoto ni Kadhi Mkuu wa Tanzania Alhaji Mnyasi.
Baadhi ya washiri wa Baraza la Maulid wakimsikilza Waziri Mkuu, Kassim Majliwa wakati alipohutubia Baraza hilo kwenye ukumbi wa Karimjee jijiniDar es salaam Desemba 24, 2015.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Shinyanga, Hamisi Mgeja na baadhi ya washiriki wa baraza hilo baada ya kuhutubia Baraza la Idd kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam Desemba 24, 2015.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Dkt. Salim Ahmed Salim katika baraza la idd alilolihutubia kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam Desemba 24, 2015. ,Kushoto ni Bw. Azim Dewji na wapili kulia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku na kulia nii Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi, Ramadhani Kailima.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad