Wanyama aina ya Nyati wanane wakiwa wamekufa baada ya kugongwa na gari aina ya Fuso kwenye mbuga ya Wanyama ya Mikumi na kusababisha foleni ya magari. Tukio hili limetokea alfajiri ya leo tarehe 4 Desemba 2015.
Friday, December 4, 2015
Home
Unlabelled
NYATI WANANE WAMEKUFA KWA KUGONGWA NA FUSO
NYATI WANANE WAMEKUFA KWA KUGONGWA NA FUSO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




No comments:
Post a Comment