HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, December 26, 2015

MR.BLUE APAGAWISHA MASHABIKI WA MBEYA KATIKA SHOO YA XMASS ILIYO ANDALIWA NA RADIO 91.3 DREAM FM MBEYA.

 Mwanamuziki wakizazi kipya kipenzi cha wengi afaamikae kwa Jina la Mr.Blue apagawisha mashabiki wa muziki wa kizazi kipya Jijini Mbeya katika Shoo ya Xmass iliyo andaliwa na Radio Dream Fm 91.3 Mbeya na kusapotiwa na Cocacola, Paradise In Hotel, Wasanii wa Muziki kutoka Mbeya na Michuzi Media Group, Shoo Nzima ilifanyika katika ukumbi wa wazi Paradise In Soweto                                                                     Jijini Mbeya.
 Kutoka Shoto ni Meneja wa Radio Dream Fm Mzee wa Masauti Tom Chilala akiwa Sanjari na Mwanamuziki wa muziki wa Kizazi kipya Mwana Dada Petronia katika Picha. 
Mwana Daa Petronia akitumbuiza baadhi ya Nyimbo zake katika Shoo ya Xmass iliyo andaliwa na                                                          Radio Dream Fm mbeya.
                                  PICHA ZOTE NA MR.PENGO MBEYA.
                                            PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad