Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini, Richard Kasesela akiongea na wana Mgambo na kuwaasa kuwa waaminifu kwani wao ndio walinzi namba moja katika nchi na wako karibu sana na wananchi. pia Mkuu wa wilaya alisistiza suala la usafi kama nguzo moja wapo ya uadilifu.
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini, Richard Kasesela akipokea maelezo toka kwa Mshauri wa Mgambo wa Mkoa Luteni Kanali J. Kitita.
No comments:
Post a Comment