HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, December 25, 2015

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Richard Kasesela Afungua mafunzo ya ulengaji Shabaha


Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini, Richard Kasesela akiongea na wana Mgambo na kuwaasa kuwa waaminifu kwani wao ndio walinzi namba moja katika nchi na wako karibu sana na wananchi. pia Mkuu wa wilaya alisistiza suala la usafi kama nguzo moja wapo ya uadilifu.
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini, Richard Kasesela akizindua mafunzo ya shabaha. alifanikiwa kulenga 10 kati ya 30 zilienda kwenye shabaha.
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mjini, Richard Kasesela akipokea maelezo toka kwa Mshauri wa Mgambo wa Mkoa Luteni Kanali J. Kitita.
Mkufunzi wa mafunzo akihesabu shabaha.
Mkuu wa wilaya akionyesha jinsi ya kutumia SMG

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad