HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, December 25, 2015

Mambo yalivyonoga Soko la Mapinduzi Mwananyamala, kuelekea sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya

Wakazi wa maeneo mbali mbali ya Jiji la Dar es salaam wakiwa katika Soko la Mapinduzi Mwananyamala, kufanya shopingi ya mahitaji mbali mbali ikiwa ni sehemu ya maandalinzi ya kusherehea vyema Sikukuuu ya Krismass na Mwaka mpya, kama walivyonaswa na Kamera yetu ya Mtaa kwa Mtaa Blog. Picha na Emmanuel Massaka.
Wafanyabiashara katika Soko la Mapinduzi Mwananyamala wakichangamkia wateja wao waliofika kununua bidhaa mbali mbali sokoni hapo.
Mdau akimtumia meseji mteja kumtaarifu kuwa mali mpya imewasili Sokoni hapo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad