Madogo wa Mtaani kwetu ambao ni Wadunguaji mahiri wa Matunda Mtini wakiwa katika udunguaji wa Matunda juu ya Fensi wao na Mawe yao ambayo huwa yakikosa muelekeo hudondokea kwenye Njia ambayo inatumika na wana Mtaa kukatisha hapo.
#Kamerayamtaakwamtaablog.
No comments:
Post a Comment