Meneja wa GEPF mkoa wa Kinondoni, Mohammed Nyallo akikabidhi vifaa (computers, printers na camera) kwa Bi Tipwa Mapunda kiongozi mwandamizi wa ASE taasisi ya vicoba ambayo ina wanachama katika Mfuko wa GEPF, ikiwa ni sehemu ya msaada wenye lengo la kuwasaidia ASE katika kufanikisha shughuli zao kwa ufanisi zaidi.
Monday, December 21, 2015

Home
Unlabelled
GEPF WATOA MSAADA KWA TAASISI YA ALLIANCE FOR SOCIAL ALLEVATION (ASE)
GEPF WATOA MSAADA KWA TAASISI YA ALLIANCE FOR SOCIAL ALLEVATION (ASE)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment