HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, December 21, 2015

GEPF WATOA MSAADA KWA TAASISI YA ALLIANCE FOR SOCIAL ALLEVATION (ASE)

Meneja wa GEPF mkoa wa Kinondoni, Mohammed Nyallo akikabidhi vifaa (computers, printers na camera) kwa Bi Tipwa Mapunda kiongozi mwandamizi wa ASE taasisi ya vicoba ambayo ina wanachama katika Mfuko wa GEPF, ikiwa ni sehemu ya msaada wenye lengo la kuwasaidia ASE katika kufanikisha shughuli zao kwa ufanisi zaidi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad