HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, December 28, 2015

DROO YA PILI YA AIRTEL MKWANJIKA PROMOSHENI YAFANYIKA

 Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando (wa pili kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuendesha droo ya pili ya promosheni ya Airtel Mkawnjika ambapo washindi 28 kutoka katika mikoa mbalimbali walipatikana. Akishuhudia ni balozi wa Airtel Mkwanjika na mtangazaji wa kipindi cha planet Bongo cha EATV Abdallah  Hamisi Ambua  (kushoto) akifuatiwa na  msimamizi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini , Mrisho Milao (wa pili kulia) na Afisa Masoko wa Airtel Bi Rebecca Mauma (kulia).
Balozi wa Airtel Mkwanjika na mtangazaji wa kipindi cha planet Bongo cha EATV Abdallah  Hamisi Ambua (kulia)  akiongea na moja ya washindi kupitia simu ya mkononi wakati wa kuendesha droo ya pili ya promosheni ya Airtel Mkawnjika ambapo washindi 28 kutoka katika mikoa mbalimbali walipatikana. Akishuhudia Msimamizi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini , Bwana Mrisho Milao (kushoto) na Afisa Masoko wa Airtel Bi Rebecca Mauma (katikati). 

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad