Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana
Jackson Mmbando (wa pili kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo
pichani) wakati wa kuendesha droo ya pili ya promosheni ya Airtel Mkawnjika
ambapo washindi 28 kutoka katika mikoa mbalimbali walipatikana. Akishuhudia ni
balozi wa Airtel Mkwanjika na mtangazaji wa kipindi cha planet Bongo cha EATV
Abdallah Hamisi Ambua (kushoto) akifuatiwa na msimamizi wa
bodi ya michezo ya kubahatisha nchini , Mrisho Milao (wa pili kulia) na Afisa
Masoko wa Airtel Bi Rebecca Mauma (kulia).
Balozi wa Airtel Mkwanjika na mtangazaji wa
kipindi cha planet Bongo cha EATV Abdallah Hamisi Ambua (kulia)
akiongea na moja ya washindi kupitia simu ya mkononi wakati wa kuendesha droo
ya pili ya promosheni ya Airtel Mkawnjika ambapo washindi 28 kutoka katika
mikoa mbalimbali walipatikana. Akishuhudia Msimamizi wa bodi ya michezo ya
kubahatisha nchini , Bwana Mrisho Milao (kushoto) na Afisa Masoko wa Airtel Bi
Rebecca Mauma (katikati).
No comments:
Post a Comment