HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, December 28, 2015

BREAKING NYUZZZZ.....: WACHIMBAJI KADHAA WAFUNIKWA NA KIFUSI CHUNYA, MKOANI MBEYE LEO

Wachimbaji kadhaa wafukiwa na kifusi katika kijiji cha Sangambi wilaya ya Chunya mkoani Mbeya hivi sasa, Juhudi za kuokoa uhai wao zinaendelea muda huu. Ripota wa Globu ya Jamii, Deo Kakuru yupo eneo la tukio hivi sasa na ataendelea kutupatia kilichojiri huko.
Tinga tinga likiendelea na juhudi za uokoaji hivi sasa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad