Meneja wa Kanda ya Dar es Salaam wa kampuni ya GAPCO Tanzania, Jane Mwita (kati) akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kuwatafuta washindi wa droo ya tatu ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" inayoendeshwa na Kampuni hiyo kwa Wateja wake wa jijini Dar es Salaam,ambapo zaidi ya wateja 25 huibuka kidedea kila wiki. Kulia anaeshuhudia ni Mkaguzi wa michezo ya kubahatisha nchini, Chiku Saleh na Kushoto ni Meneja Masoko wa GAPCO Tanzania, Caroline Kakwezi.
Friday, December 18, 2015

Home
Unlabelled
droo ya tatu ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" ya GAPCO yafanyika jijini dar
droo ya tatu ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" ya GAPCO yafanyika jijini dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment