HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, November 20, 2015

UCHAMBUZI WA MAGAZETI LEO

SIMU.TV:  Mh.Majaliwa asema hakutegemea, aahidi kutumikia wote bila ubaguzi. Dk.Tulia achaguliwa kuwa Naibu Spika Bunge la 11; 
SIMU.TV:  Wazimia baada ya nyumba 25 kuvunjwa Dar,  watoto watatu wauwawa  kikatili. Wazanzibari waandamana London; https://youtu.be/2OWnUdzu-rI     
SIMU.TV:  Vyama vya siasa vyatakiwa kuvunja vikundi vya ulinzi. Profesa Lipumba amsifu Rais Magufuli kwa uteuzi wa Waziri Mkuu; https://youtu.be/Me8XZ1KxDy0

SIMU.TV:  Mkwasa abeba lawama zigo la 7-0. MCameroon atua rasmi Simba, safari ya Miss Tanzania , China yaiva. Pata habari motomoto zilizotawala katika magazeti ya leo; https://youtu.be/1wBDkbbtnak

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad