HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, November 24, 2015

UCHAMBUZI WA HABARI ZA MAGAZETINI

SIMU.TV: Rais Magufuli asitisha shamra za uhuru. Wasomi, wanasiasa watoa ya moyoni. CCM yashinda Ubunge Lushoto;
 SIMU.TV: Mahakama leo kuamua kuagwa ama la mwili wa mwenyekiti Mwanzo. Polisi wapiga marufuku kujichukulia sheria mkononi; https://youtu.be/LP9X-KNvLas
SIMU.TV: Ikulu yawatikisa wafanyabiashara nchini.  Taharuki CHADEMA, mtoto wa kigogo asahaulika nafasi za viti maalumu; https://youtu.be/o2GcUXkkso0  
SIMU.TV: Kili Stars, Zanzibar Heroes majaribuni leo michuano ya Chalenji. Minziro aibukia Afrika Sports. Mavungo ndani ya 18 Simba; https://youtu.be/JzJ23lyUwvg 
SIMU.TV: Familia ya Mawazo yatinga korti kuu, Waziri Mkuu awataka wafanyakazi katika ofisi yake kuwahudumia vyema wananchi; https://youtu.be/J-a7ogZRXUg

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad