Huu ni uchambuzi wa Habari toka vituo mbalimbali vya Televisheni November 2, 2015.
SIMUtv: Baad ya kuburuzwa katika mechi za ligi kuu ,kocha wa timu ya Kagera Sugar akiri timu haiku sawa hivyo kupelekea matokeo mabaya
SIMUtv: Ligi ya mpira wa kikapu imeendelea kurindima jiji Dar Es Salaam huku makocha wakitoa changamoto zinazokabili ligi hiyo; https://youtu.be/3FnnqjPczrQ
SIMUtv: Fuatilia mada ya siku ya leo ambapo inaangazia kuhusu jeshi la zimamoto na uokoaji pamoja na sheria za utendaji wa jeshi hilo; https://youtu.be/rO9rmNRojs0
SIMUtv: Kutana na kamishna wa iliyokuwa tume ya muafaka Zanzibar Asha Juma akizungumzia hali na muelekeo visiwani Zanzibar katika mjadala; https://youtu.be/I3p6Nk4cb-g
SIMUtv: Je vijna wa Kitanzania ana mtazamo gani baada ya uchaguzi mkuu uliyofanyika mwishoni mwa mwezi Octoba mwaka huu?; https://youtu.be/xGAkWu6I4e4
SIMUtv: Mvua kubwa ya mawe iliyoandamana na upepo mkali imesababisha athari kubwa kwa wakazi wa manispaa ya ya Sumbawanga; https://youtu.be/OX4pBAhg1mk
SIMUtv: Baadhi ya wananchi wa mkoa wa Kigoma waipongeza serikali kwa kuanzisha mradi wa maendeleo ya jamii (TASAF); https://youtu.be/uJx7zFiZYbU
SIMUtv: jeshi la polisi ,viongozi wa dini waombwa kushirikiana kuielimisha jamii kuhusu uuzaji mafuta ya petrol katika makazi; https://youtu.be/b7xJTCMMR2Q
SIMUtv: Wazazi, walezi nchini watakiwa kuwalea watoto wao katika misingi ya maadili na kuwajengea uzalendo kwa manufaa ya ulinzi wa taifa; https://youtu.be/GD9PZW6vhAo
SIMUtv: Wanafunzi wa kidato cha nne Tanzania, pamoja na wasimazi watakiwa kutojihusisha na udanganyifu ili kuepusha kufutiwa matokeo yao; https://youtu.be/oxtkjh_Oy0o
SIMUtv: Wanachama wa mtandao wa utetezi za haki za binadamu(THRDC) walaani uvamizi wa kituo cha TACCEO;https://youtu.be/YYd2kpBERYw
No comments:
Post a Comment