HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, November 2, 2015

UCHAMBUZI WA HABARI TOKA VITUO MBALIMBALI VYA TELEVISHENI NOVEMBA2,2015.

Huu ni uchambuzi wa Habari toka vituo mbalimbali vya Televisheni November 2, 2015.

SIMUtv: Baad ya kuburuzwa katika mechi za ligi kuu ,kocha wa timu ya Kagera Sugar akiri timu haiku sawa hivyo kupelekea matokeo mabaya
SIMUtv: Ligi ya mpira wa kikapu imeendelea kurindima  jiji Dar Es Salaam huku makocha wakitoa changamoto zinazokabili ligi hiyo;  https://youtu.be/3FnnqjPczrQ
SIMUtv: Fuatilia mada ya siku ya leo ambapo inaangazia kuhusu jeshi la zimamoto na uokoaji  pamoja na sheria za utendaji wa jeshi hilo; https://youtu.be/rO9rmNRojs0
SIMUtv: Kutana na kamishna wa iliyokuwa tume ya muafaka Zanzibar Asha Juma akizungumzia hali na muelekeo visiwani  Zanzibar katika mjadala;  https://youtu.be/I3p6Nk4cb-g

SIMUtv: Je vijna wa Kitanzania ana mtazamo gani baada ya uchaguzi mkuu uliyofanyika mwishoni mwa mwezi Octoba mwaka huu?; https://youtu.be/xGAkWu6I4e4

SIMUtv: Mvua kubwa ya mawe iliyoandamana na upepo mkali imesababisha athari kubwa kwa wakazi wa manispaa ya ya Sumbawanga; https://youtu.be/OX4pBAhg1mk

SIMUtv: Baadhi ya wananchi wa mkoa wa Kigoma waipongeza serikali kwa kuanzisha mradi wa maendeleo ya jamii (TASAF); https://youtu.be/uJx7zFiZYbU

SIMUtv: jeshi la polisi ,viongozi wa dini waombwa kushirikiana  kuielimisha jamii kuhusu  uuzaji mafuta ya petrol katika makazi; https://youtu.be/b7xJTCMMR2Q

SIMUtv: Wazazi, walezi  nchini watakiwa kuwalea watoto wao katika misingi ya maadili na kuwajengea uzalendo kwa manufaa ya ulinzi wa taifa; https://youtu.be/GD9PZW6vhAo
SIMUtv: Wanafunzi wa kidato cha nne Tanzania, pamoja na wasimazi watakiwa kutojihusisha na udanganyifu ili kuepusha kufutiwa matokeo yao; https://youtu.be/oxtkjh_Oy0o
SIMUtv: Wanachama wa mtandao wa utetezi za haki za binadamu(THRDC) walaani uvamizi wa kituo cha TACCEO;https://youtu.be/YYd2kpBERYw

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad