HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, November 12, 2015

TASWIRA MBALIMBALI ENEO LA MAKAZI WATU MNYAMANI BUGURUNI JIJINI DAR

 Mazingira ya Pembezoni mwa Reli ya Mitaa ya Mnyamani Buguruni jijini Dar es Salaam ikiwa Dampo lipo hapo pamoja na mkusanyiko wa maji kwa sababu hayana kwa kuelekea. Wakazi wa maeneo haya wako hatarini kupata magonjwa ya mlipuko kutokana na maji yaliyotuama maeneo haya.
 Inawezekana kuwa na kiwanda cha uzalishaji wa Mbu na magonjwa ya mlipuko nkatika eneo la Mnyamani Buguruni bila shaka.....
 Maisha yanaenda ikiwa ni hatari endapo usafiri wa eneo hili unapopita wananchi. Hii ni kwa usalama wa raia tuu.
 Maegesho muruaaaaaaa!!!!!!
 Reliniiiiiiiiii 
Picha na Avila Kakingo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad